Habari yako Anko,
Naomba unifanyie msaada wa kuniwekea tangazo langu la kutafuta mchumba kwenye blog yako. Umri wa ninayemtafuta awe kuanzia miaka 34 mpaka 47. Awe anayependa na kujali familia. Mimi naishi nje ya nchi ingawa mwanaume aliye katika nchi yoyote anaweza kuniandikia. Mchumba ninayemtafuta awe na elimu ya chuo kikuu.
aliye tayari na nia ya dhati aniandikie kwenye barua pepe:


Kuna Maoni 0 mpaka sasa.
Post a Comment